
WASANII wa filamu ambao hivi karibuni waliripotiwa kujitoa katika kundi la Bongo Movie Unity wamedaiwa kuunda la kwao linalojulikana kama Ukawa ambalo litakuwa chini ya uongozi wa Mwenyekiti aliyetimuliwa, Steven Mengere maarufu kama Steve Nyerere.

WASANII wa filamu ambao hivi karibuni waliripotiwa kujitoa katika kundi la Bongo Movie Unity wamedaiwa kuunda la kwao linalojulikana kama Ukawa ambalo litakuwa chini ya uongozi wa Mwenyekiti aliyetimuliwa, Steven Mengere maarufu kama Steve Nyerere.
“Yaani sasa hivi haya makundi mawili kuna
vita kali sana, kila moja linataka lionekane kwamba lina nguvu kuliko
lingine, hata jina la Bongo Movie Unity limebadilishwa sasa hivi
linaitwa Bongo Movie Stars,”kilisema chanzo hicho.
Aliyekuwa Katibu msaidizi wa Bongo Movies Unity, Devotha Mbaga.
Mussa Issa ‘Cloud’ alikiri kubadilishwa jina kwa Bongo Movie Unity na
pia amesikia habari za kuwepo kwa kundi la Ukawa wakati Steve Nyerere
alisisitiza kuwa bado ni mwanachama wa Bongo Movie Unity na kwamba mtu
anayetaka kuwagombanisha wasanii anajulikana.
No comments:
Post a Comment