
Mbunge wa Mbinga Magharibi John Komba, leo Novemba 6 katika kikao cha Bunge amezungumzia mambo mawili ;-
1- Kuhusu kauli ya Mbunge Peter Msigwa juu ya Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana; “..kwa
kuanza kwanza ni.. sikupenda sana kwa hotuba aliyoitoa mwenzetu Msigwa
jana kuhusu katibu wetu mkuu Kinana wa CCM.. nataka nimuhakikishie
Msigwa.. kati ya makatibu wakuu tuliowapata katika Chama cha
Mapinduzi..waliokifanyia vizuri chama chetu cha mapinduzi… Kinana ni
miongoni mwao na ndio tishio la upinzani kwa sasa hivi.. Kwa hiyo
kumuingiza Kinana pale kumletea maneno ambayo hajayasema.. ni kiwewe tuu
cha buree cha bure.. Kinana yupo pale kuwaondoeni nyie mnaosema
mtachukua nchi…”—Komba

No comments:
Post a Comment