Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mwana FA(kushoto) akiongea na
waandishi wa habari (hawapopichani) kuhusiana na maandalizi ya shoo yake
ya “Vodacom life is better”atakayoifanya siku ya ijumaa kwenye klabu ya
La Casachika mjini Tanga, Anaeshuhudia katikati ni Mkuu wa kitengo cha
Mawasiliano na Uhusianowa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia na kulia ni
Meneja wa msanii huyo Lusajo Mwaisaka.…
Msanii
wa muziki wa kizazi kipya Mwana FA(kushoto) akiongea na waandishi wa
habari (hawapopichani) kuhusiana na maandalizi ya shoo yake ya “Vodacom
life is better”atakayoifanya siku ya ijumaa kwenye klabu ya La Casachika
mjini Tanga, Anaeshuhudia katikati ni Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano
na Uhusianowa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia na kulia ni Meneja wa
msanii huyo Lusajo Mwaisaka.
Mkuu
wakitengo cha Mawasiliano na uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn
Mworia (katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari
(hawapopichani) wakati alipokuwa akizungumzia kuhusiana na shoo
ya”Vodacom life is better”itakayofanywa na msanii wa muziki wa kizazi
kipya Mwana FA (kushoto)siku ya ijumaa katika klabu ya La Casachika
mjini Tanga. Kulia ni Meneja wa msanii huyo LusajoMwaisaka.
No comments:
Post a Comment