"leo hii asubuhi majira ya saa
05:30 nikiwa naelekea ofisini , nimevamiwa na watu watano wenye mapanga
wakiwa na gari aina rav4 ya silver no. t280azq wamechukua laptop yangu
mac book pro, external hdd 4, headphones za sony na modem.
Nnachoshukuru nimepona ila nnachoomba atakayeiona gari hii popote
atutaarifu kwa number +255754310202 / na ntampatia cash 300,000 then
ntadeal nao mwenyewe.

No comments:
Post a Comment