
Msanii
huyo, amefariki leo saa nne asubuhi baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kwa
mujibu wa familia, taarifa zaidi za mazishi zitatolewa baadae. Global
Publishers imekuwa ikifuatilia hali ya msanii huyu na kuwajulisha
mashabiki wake mara kwa mara. Mara ya mwisho kuandika habari zake
ilikuwa Februari 21 mwaka huu wakati alipokuwa amelazwa kwenye hospitali
Kilimani maeneo ya Big Brother jijini Dar chini ya kichwa cha habari MTOTO WA MAGALI HOI KITANDANI.
No comments:
Post a Comment