Mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika
Kusini Marehemu Nelson Mandela umewasili kwenye ikulu ya Afrika Kusini
mji Mkuu wa Pretoria, na utalala hapo kwa siku tatu.
Mwili ulichukuliwa katika msafara kutoka chumba cha maiti cha hosptali hadi kwenye jengo la Muungano.Wananchi walijipanga